Habari

PONGEZI


Bodi ya Wakurugenzi ,Menejimenti na wafanyakazi wote wa Shirika la Elimu Kibaha wanatoa  salamu za pongezi kwa Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph  Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano .Tunakutakia afya njema katika kutekeleza majukumu ya kutumikia taifa la Tanzania  

Imetolewa na :

KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO

SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA