Kurugenzi na Vitengo

Shirika la Elimu Kibaha lina Vitengo 7 na Kurugenzi 5 kama ifuatavyo:-

  • 1.Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
  • 2.Kitengo cha Mali na Ujenzi
  • 3.Kitengo cha Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
  • 4.Kitengo cha Uhusiano, Mawasiliano na Masoko
  • 5.Kitengo cha Ununuzi na Usimamizi wa Vifaa
  • 6.Kitengo cha Huduma za Sheria
  • 7.Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
  • 8.Kurugenzi ya Huduma za Afya
  • 9.Kurugenzi ya Maendeleo ya Jamii, Mafunzo, Utafiti na Uzalishaji
  • 10.Kurugenzi ya huduma za Elimu
  • 11.Kurugenzi ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
  • 12.Kurugenzi ya Fedha na Hesabu